Sunday, June 12

Kigoma

Nilipata kula sehemu mbalimbali, wenyeji wangu kina Victor, Mashine, Robert a.k.a Kagame,Ben, Mike moja, Nobert, Oliver a.k.a Chalii ya A town, walikuwa wakinipeleka.
Karibu uone menu za Kigoma:

Ya kwanza, Kitimoto rosti yapatikana Amarula bar, matata sana ukiila na ugali!!


No comments:

Post a Comment